Mabalozi kufanya ziara ya utalii Tanzania

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Said Mussa

Katika kuendelea kukuza Diplomasia ya Uchumi, Tanzania inatarajia kufanya ziara ya Wanadiplomasia wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania pamoja na mashirika ya kimataifa kwa lengo la kuitangaza Tanzania kama kituo bora cha utalii na uwekezaji.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS