Msimu huu kila mechi Madrid lazima tuteseke -Carlo
Carlo Ancelotti - Kocha wa Real Madrid
Baada ya Ushindi wa 3-2 walioupata Real Madrid dhidi ya Leganes hapo jana usiku Kocha wat imu hiyo alieleza kuwa msimu huu hakuna mchezo ambao Kikosi chake hakijateseka uwanjani.