Wachezaji Simba waanza kujiondoa, Ngoma aaga

Fabrice Luamba Ngoma

Kiungo wa Simba SC, Fabrice Luamba Ngoma amewaandikia ujumbe viongozi, mashabiki na timu nzima ya Simba SC, huku akiwakumbusha kuendelea kuiunga mkono klabu hiyo yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi Kariakoo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS