Jumuiya ya Madola kuanzisha Nyerere Scholarship

Jumuiya ya Madola (Commonwealth) imeridhia wito wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt.Samia Suluhu Hassan wa kuanzisha mpango maalum wa ufadhili wa masomo wa Commonwealth Julius Nyerere Scholarship.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS