Ice Prince: Nilibakwa utotoni

Ice Pronce

Staa wa muziki wa nchini Nigeria, Ice Prince ameweka wazi kuwa, katika historia ya maisha yake, alikwishawahi kubakwa akiwa na umri wa miaka 13 tu, na mwanamke ambaye alikua anamchukulia kama anti yake, ambaye alikuwa akiishi jirani na familia yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS