Ice Prince: Nilibakwa utotoni
Staa wa muziki wa nchini Nigeria, Ice Prince ameweka wazi kuwa, katika historia ya maisha yake, alikwishawahi kubakwa akiwa na umri wa miaka 13 tu, na mwanamke ambaye alikua anamchukulia kama anti yake, ambaye alikuwa akiishi jirani na familia yao.