Waziri abaini wageni wanakodishwa ranchi Kagera

Waziri wa maendeleo ya mifugo Dkt Titus Kamani.

Serikali ya Tanzania imekiri kuwa baadhi ya wamiliki wa vitalu katika ranchi za taifa mkoani Kagera wamekuwa wakikodisha ranchi hizo kwa watu wenye ng;ombe kutoka nchi za jirani badala ya kuzitumia kulisha mifugo yao.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS