Bomu laua mmoja na kujeruhi saba Zanzibar Maeneo ambapo bomu hilo lililipuka Wakaazi wa Zanzibar wako katika hali ya wasiwasi baada ya kushuhudia tukio lengine la kulipuka kwa bomu kwa lililowalenga viongozi wa dini na kuua kijana mmoja na kujeruhi saba. Read more about Bomu laua mmoja na kujeruhi saba Zanzibar