My Number One ya Diamond yang'ara kwa Obama
Msanii wa Muziki Diamond Platnumz, ameingia kwa kishindo katika jukwaa la burudani la Kimataifa rasmi baada ya kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania tuzo kubwa kabisa duniani za burudani zinazotolewa na kituo kikubwa cha Televisheni cha Marekani.