Malinzi: Airtel Rising Star ina faida Kubwa
Wachezaji wa soka walio na umri chini ya miaka 17 kutoka nchi 12 barani Afrika wanatarajiwa kuwasili jijini Dar es salaam nchini Tanzania Jumatatu ya April 21 mwaka huu kushiri katika mafunzo ya siku tano ya mpango wa kukuza vipaji kwa vijana .