Juliani kuachia albam ya 3

Juliani

Msanii wa muziki wa nchini Kenya, Juliani baada ya kufanya vizuri sana katika soko la muziki na Albam zake mbili za kwanza, kwa sasa msanii huyu anatarajia kuachia albam yake ya tatu, ambayo tayari imekwishakamilika sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS