Coastal U-20 kupimana ubavu na Dyna Baadhi ya wachezaji wa timu ya vijana ya Coastal Union Timu ya vijana chini ya miaka 20 ya Coastal Union Jumapili wiki hii wanatarajiwa kufanya ziara ya kimichezo katika tarafa ya Maramba wilayani Mkinga, na kucheza michezo kadhaa ya kirafiki. Read more about Coastal U-20 kupimana ubavu na Dyna