Wananchi Babati wazuia msafara wa Kinana

Baadhi ya wakazi wa Babati wakiwa wamezuia msafara wa Abdulrahman Kinana katibu mkuu wa CCM

Wananchi wa Babati mkoani Manyara wamemuomba Katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kuingilia kati mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiwanyima haki yao kwa muda mrefu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS