Baadhi ya wakazi wa Babati wakiwa wamezuia msafara wa Abdulrahman Kinana katibu mkuu wa CCM
Wananchi wa Babati mkoani Manyara wamemuomba Katibu mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana kuingilia kati mgogoro wa ardhi ambao umekuwa ukiwanyima haki yao kwa muda mrefu.