Man U wamtimua Moyes

Kocha David Moyes aliyetimuliwa Man U baada ya kuinoa kwa miezi 10 tu

Klabu ya Machester United leo imemfukuza kazi meneja wake David Moyes baada ya kuinoa timu hiyo kwa miezi kumi na mchezaji Ryan Giggs ameteuliwa kuinoa timu hiyo mpaka mwisho wa msimu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS