Kocha David Moyes aliyetimuliwa Man U baada ya kuinoa kwa miezi 10 tu
Klabu ya Machester United leo imemfukuza kazi meneja wake David Moyes baada ya kuinoa timu hiyo kwa miezi kumi na mchezaji Ryan Giggs ameteuliwa kuinoa timu hiyo mpaka mwisho wa msimu.