Emmy akanusha kudai talaka

Msanii wa muziki wa nchini Kenya ambaye ameolewa huko Nigeria, Emmy Kosgei amekanusha uvumi ambao umeendelea kuenea kwa kasi kubwa kuwa yeye na mumewe wapo katika mpango wa kutengana baada ya ndoa yao kudumu kwa miezi 7 pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS