Mose Radio achunguzwa na polisi Polisi nchini Uganda wanafanya uchunguzi dhidi ya mwanamuziki Moses Sekibogo maarufu kama Mowzey Radio wa kundi la Goodlyfe kwa tuhuma za kuharibu mali kwa makusudi, kushambulia na kuwa na bangi. Read more about Mose Radio achunguzwa na polisi