Idadi kubwa ya wafanyakazi hulipwa ujira mdogo

Waziri wa kazi na ajira Bi. Gaudensia Kabaka (kulia) akifafanua jambo

Mwenyekiti wa shirikisho la vyama vya wafanyakazi Tanzania (Tucta) mkoa wa Mbeya, Alinanuswe Mwakapala, amesema idadi kubwa ya wafanyakazi wanalipwa mishahara chini ya kiwango na hawajajiunga na chama chochote cha wafanyakazi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS