Warioba awajia juu wanaomdhihaki na kumkejeli
Aliyekuwa mwenyekiti wa tume ya mabadiliko ya katiba nchini Tanzania Jaji Mstaafu Joseph Warioba ameshangazwa na lugha ya dhihaka na kejeli inayotumiwa na wajumbe wa bunge maalum la katiba katika michango ya mijadala inayoendelea katiba bunge hilo.