Tanzania ina idadi kubwa vifo ajali za barabarani

Nguvu kazi muhimu kwa maendeleo ya nchi, hupotea kupitia ajali za barabarani kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.

Idadi ya watu wanaofariki kutokana na ajali za barabarani kwa mwaka katika nchi zinazoendelea ikiwamo Tanzania ni kubwa ambapo takwimu zinaonyesha watu milioni sita hupoteza maisha kila mwaka kutokana na ajali za barabarani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS