Wanachama Yanga wapewa Onyo

Baadhi ya wanachama wa klabu ya Yanga

Wanachama wa klabu ya Yanga wamepewa onyo la kutozungumza mambo yahusuyo klabu kinyume na utaratibu na kuelezwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume na katiba ya klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS