Bodaboda bado zatumika kwa uporaji Dar

Kamanda Camilius Wambura,mkuu wa polisi mkoa wa Kinondoni, mkoa ambao tukio la leo mchana limetokea.

Mkazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam na dereva wa gari yenye namba za usajili T 910 CGR aina ya Toyota Noah, Abbas Matenga, amemwagiwa kitu kinachodhaniwa kuwa ni tindikali na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi na kisha kumpora baadhi ya vifurushi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS