Tanzania inaongoza kwa kodi katika mishahara

Mjumbe wa kamati ya bunge ya uchumi, viwanda na biashara, David Kafulila.

Tanzania ndiyo nchi inayoongoza katika ukanda wa Afrika Mashariki kwa wafanyakazi wake kukatwa kiasi kikubwa cha kodi kutoka katika mishahara yao, hatua inayowazidishia hali ngumu ya maisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS