Debbie ageukia utangazaji Msanii wa muziki nchini Kenya Debbie Asila Msanii aliyewahi kuliimbia kundi maarufu la muziki nchini Kenya 'Tattuu' Debbie Asila, baada ya muda mrefu kutokuwa katika gemu hivi sasa amerudi tena kuendeleza kipaji chake katika luninga. Read more about Debbie ageukia utangazaji