Debbie ageukia utangazaji

Msanii wa muziki nchini Kenya Debbie Asila

Msanii aliyewahi kuliimbia kundi maarufu la muziki nchini Kenya 'Tattuu' Debbie Asila, baada ya muda mrefu kutokuwa katika gemu hivi sasa amerudi tena kuendeleza kipaji chake katika luninga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS