Watanzania jengeni tabia kuepuka maafa - Serikali Watanzania wametakiwa kujenga tabia pamoja na kuishi maisha ambayo yatawasaidia kuwaepusha dhidi ya majanga mbalimbali yakiwemo yale ya moto, ajali, milipuko ya magonjwa pamoja na mafuriko. Read more about Watanzania jengeni tabia kuepuka maafa - Serikali