Mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa afariki dunia Marehemu Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es Salaam kupitia tiketi ya (CCM) Eugen Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa usingizini nyumbani kwake Dodoma. Read more about Mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa afariki dunia