Mbunge wa Ukonga Eugen Mwaiposa afariki dunia

Marehemu Eugene Mwaiposa enzi za uhai wake

Mbunge wa jimbo la Ukonga Dar es Salaam kupitia tiketi ya (CCM) Eugen Mwaiposa amefariki dunia usiku wa kuamkia leo akiwa usingizini nyumbani kwake Dodoma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS