Airtel Rising Stars Agosti 8 mwaka huu
Vijana wametakiwa kujiunga zaidi katika michezo ili kujenga mahusiano mazuri miongozi mwao na kuwawezesha kuitangaza nchi endapo kutakuwa na vijana mahiri watakaojiunga na vilabu maarufu duniani kucheza soka la kulipwa.