Mnigeria wa Stand Abasarim Chidiebele atua Coastal

Abasarim Chidiebele kushoto akifanya mahojiano na waandishi wa habari muda mfupi baada ya kutua Coastal

MSHAMBULIAJI wa timu ya Stand United,Abasarim Chidiebele amesaini mkataba wa kuitumikia timu ya Coastal Union kwa mkataba wa miaka mmoja katika msimu ujao wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS