Polisi wamsaka mbaya wa G-Snake

msanii wa muziki wa nchini Uganda G-Snake

Baada ya msanii wa muziki G-Snake kutoka nchini Uganda kushambuliwa na kuumizwa vibaya na promota wa muziki anayefahamika kwa jina Frank Jay almaarufu kama DJ Frank, polisi nchini humo wanaendelea kumsaka mtuhumiwa huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS