Makongoro Nyerere akivalishwa vazi la mgolole kama ishara ya kupewa baraka za wazee katika mbio zake za urais
Mbunge wa bunge la Afrika Mashariki mh Charles Makongoro Nyerere, hatimaye ametangaza nia yake ya kugombea urais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha mapinduzi CCM.