Ray C: 'Sitafuti mume ni mzaha tu'

msanii wa miondoko ya bongofleva Ray C

Staa wa muziki Ray C, baada ya kuwa anapata maombi zaidi ya 500 kila siku kufuatia hatua yake ya kutangaza kutafuta mume katika mtandao, ameiambia eNewz kuwa suala hilo lilikuwa ni utani tu na kwa yeye kufikia kuamua kuolewa bado sana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS