Chantelle apata msiba wa mtoto

staa wa muziki wa nchini Kenya Chantelle akiwa na mtoto wake

Mwanadada aliyewahi kufanya vizuri katika chati za muziki Afrika Mashariki, Chantelle pamoja na mumewe J Blessings, wamepatwa na pigo kubwa hasa baada ya kufiwa na mtoto wao wakiume, Kylie aliyekuwa na umri wa miezi 7 tu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS