Azam,Gormahia kukutana fainali Kagame Cup jumapili

Kikosi cha Azam kilichotinga fainali ya kombe la Kagame 2015.

Azama ya Tanzania na Gormahia ya Kenya zitakutana katika fainali ya klabu bingwa Afrika Mashariki na Kati maarufu Kagame Cup siku ya jumapili baada ya timu hizo kushinda kwenye michezo yao ya nusu fainali hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS