Ujangili chanzo cha kudhoofu kwa sekta ya utalii

Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu na Katibu Mkuu wa wizara hiyo, Dk. Adelhelm Meru

Serikali imesema ongezeko la ujangili ni chanzo cha kudhoofika kwa sekta ya utalii nchini Tanzania na kudidimiza uchumi wa nchi ambapo matukio ya ujangili kwa kipindi cha miaka 10 yameongeza zaidi na kleta athari kwa Wanyama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS