Video ya Octopizzo yazua jambo

Staa wa muziki wa nchini Kenya Octopizzo na rapa nyota wa Marekani August Alsina

Video ya kolabo ya kimataifa ya staa wa muziki Octopizzo kutoka Kenya na August Alsina kutoka Marekani ya “This Could Be Us” hatimaye imetoka rasmi, maoni mengi ya mashabiki yakionyesha kutokuridhishwa na kazi hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS