7 wafariki kwa kipindupindu Dar na Morogoro.

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dkt. Seif Rashid

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii nchini imesema watu 7 wamekufa na ugonjwa wa kipindupindu huku wagonjwa 230 wakilazwa katika kambi mbali mbali katika mikoa ya Dar es salaam na Morogoro.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS