Nitashughulika na wanaoiba dawa Hosptali-Magufuli

Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Sumbawaga mjini mkoani Rukwa,ndani ya Uwanja wa Nelson Mandela.

Mgombea wa urais wa CCM Dkt. John Pombe Magufuli jana ameendelea na kampeni katika mikoa ya Katavi na Rukwa ambapo ameahidi kuondoa uhaba na upungufu wa madawa hosptalini ikiwemo kuwashuglikia watakaobainika kuiba dawa hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS