Mwadui Fc mabingwa timu za Ligi kuu kanda ya ziwa Mwadui FC ya Shinyanga imeibuka bingwa wa michuano ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya timu za Ligi Kuu, kufuatia ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Kagera Sugar, Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Read more about Mwadui Fc mabingwa timu za Ligi kuu kanda ya ziwa