Ice One: wasanii tumehamasisha BVR

msanii wa bongofleva kutoka mkoani Mororgoro Ice One

Msanii chipukizi wa miondoko ya Bongofleva mzaliwa wa Mbeya mwenye maskani yake mkoani Morogoro Ice One ameelezea kuwa mchakato wa vijana kujiandikisha kupiga kura ulichukua sura mpya baada ya wasanii wa muziki na waigizaji kujitokeza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS