Wana Njenje kurekodi album
Bendi kongwe ya muziki wa miondoko ya mduara nchini The Kilimanjaro Music Band 'wana Njenje' wanatarajia kuingia studio kurekodi wimbo maalum kwa ajili ya mwimbaji wao Bwana Mabrouk Hamis Omar almaarufu kama 'Babu Njenje' ambaye ni mgonjwa.

