Ufanisi mbovu chanzo cha hasara serikalini-Mafuru Msajili wa hazina Bw. Lawrence Mafuru Ukosefu wa ufanisi wa kiuchumi na kiutendaji kwa baadhi ya mashirika na taasisi za umma umesababisha serikali kuingia hasara kubwa kwa kukopa pesa za kiendeshea mashirika na taasisi hizo. Read more about Ufanisi mbovu chanzo cha hasara serikalini-Mafuru