Serikali iwe makini na mipango miji
Utii wa sheria bila shuruti ni changamoto kubwa sana kwa watu wa rika zote hapa nchini, ndiyo maana matukio ya kuchomwa moto kwa vituo vya polisi, kupigwa kwa watu hadi kuuawa, mapigano baina ya wakulima na wafugaji vimerindima kila kona.