Samatta aibuka shujaa tuzo za Afrika huko Abuja Mwanasoka raia wa Tanzania anayechezea klabu ya TP Mazembe ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo Mbwana Ally Samatta amenyakua tuzo ya mwanasoka bora wa Afrika anachezea ndani ya bara la Afrika. Read more about Samatta aibuka shujaa tuzo za Afrika huko Abuja