Hali ya kipindupindu kwa sasa Tanzania

Naibu waziri wa afya , maendeleo ya jamii wazee na watoto Mh. Hamis Kigwangwala wakati akitoa ripoti kwa waandishi wa habari juu ya hali ya kipindupindu nchini Tanzania

Hali ya ugonjwa wa kipindupindu katika mkoa wa Dar es salaam umeelezwa kumalizika kwa sasa baada ya kutoripotiwa mgonjwa yeyote wa kipindupindu tangu tarehe ishirini na mbili mwezi wa kumi na mbili mwaka 2015 hadi kufikia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS