Msanii Mkongwe wa Muziki wa Dansi nchini Tanzania Kamarade Ally Choki
Msanii mkongwe wa uziki wa Dansi nchini Tanzania ambae anatamba na Bendi ya African Stars (Twanga Pepeta) Kamarade Ally Choki amesema anafunga mwaka 2015 kwa kuibuka na nyimbo za Bongofleva.