Ivory Coast yaungana na wenyeji robo fainali CHAN Michuano ya CHAN 2016 nchini RWANDA Timu ya Taifa ya Ivory Coast imefuzu robo fainali ya michuano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani baada ya kuinyuka Gabon mabao 4-1 kwenye mchezo wa kundi A uliopigwa jana nchini Rwanda. Read more about Ivory Coast yaungana na wenyeji robo fainali CHAN