Yanga yafa Mkwakwani, Simba ikitakata Taifa
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya soka Tanzania bara Yanga SC hii leo wakiwa ugenini jijini Tanga wamepoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu, wakati mahasimu wao Simba SC wao wakiibuka na ushindi mnono wa nyumbani na kufufua matumaini ya ubingwa.

