Utandawazi umeua soko la albam nchini-Master Jay

Mtayarishaji wa Muziki wa Muda mrefu nchini Tanzania Master Jay

Mtayarishaji wa Muziki wa Muda mrefu nchini Tanzania Master Jay amesema mfumo wa kidigital ndiyo ulioua soko la albam nchini na ndicho kilichowafanya wasambazaji wengi waachane na biashara hiyo kwa kuwa hailipi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS