Waziri mkuu aendelea na ziara za kushtukiza

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitizama chumba cha kupigia picha za Mionzi(X-Rays )katika hospitali ya Mawenzi Mkoani Kilimanjaro

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kilimanjaro na kufanya ziara kushtukiza kwenye hospitali ya rufaa ya Mawenzi ambayo ni hospitali ya mkoa huo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS