Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitizama chumba cha kupigia picha za Mionzi(X-Rays )katika hospitali ya Mawenzi Mkoani Kilimanjaro
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasili mkoani Kilimanjaro na kufanya ziara kushtukiza kwenye hospitali ya rufaa ya Mawenzi ambayo ni hospitali ya mkoa huo.