Deni la Taifa limefikia Trilioni 41.5 Kambi rasmi ya upinzani Bungeni imesema deni la taifa limeongezeka na kufikia kiasi cha shilingi trilioni 41.5 kwa viwango vya ubadilishaji wa fedha hivi sasa. Read more about Deni la Taifa limefikia Trilioni 41.5