Kaimu Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Bi. Janeth Ruzangi
Mamlaka ya bandari (TPA), imezisimamisha kazi kampuni 210 za uwakala wa kutoa mizigo bandarini kutokana na kushindwa kuwasilisha vielelezo vya malipo waliyoyafanya wakati wa kutoa mizigo.