Veronica Gitahi, aliyekuwa afisa wa uchunguzi wa jinai wa cheo cha inspekta na konstebo Issa Mzee Askari polisi waliohukumia miaka saba kwa mauaji
Maafisa wawili wa polisi waliopatikana na hatia kuhusiana na mauaji ya msichana wa umri wa miaka 14 nchini Kenya wamehukumiwa kifungo cha miaka saba jela kila mmoja.