Ujerumani yatoa ndege za doria Serengeti

Waziri wa Maliasili na Utalii Profesa, Jumanne Maghembe.

Serikali ya Ujerumani imeipa Tanzania msaada wa ndege mbili kwa ajili ya kufanya doria za angani katika hifadhi ya Serengeti na pori la akiba la Selous ili kudhibiti uwindaji haramu na kukabiliana na majangili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS