Mikoa inayotegemea Muhogo hatarini kwa baa la njaa

Mkurugenzi wa Utafiti Kanda ya Kaskazini Bw.January Mafuru

Zaidi ya tani milioni nne za zao la muhogo zinakadiriwa kupotea kila mwaka kutokana na magonjwa mbalimbali ya virusi yanayoathiri zao hilo hali inayotishia kuzuka kwa baa la njaa kwa mikoa inayotegemea zao hilo kama zao kuu la chakula na biashara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS