VETA ndiyo suluhisho la tatizo la ajira kwa vijana
Ukosefu wa ajira na hali mbaya ya kiuchumi inayowakabili vijana nchini itapungua iwapo vijana hao watajiunga na vyuo vya mafunzo ya ufundi stadi (VETA) ambayo sasa vinatoa mafunzo yanayoweza kuwapatia vijana ujuzi wa kujiajiri na kuajiriwa.